Alhamisi, 24 Novemba 2016

ASILIMIA 90 YA VIJIJI VYA WILAYA YA MUFINDI HAVINA ARDHI YA AKIBA

Esta Malibiche on Nov 24,2016 in NEWS
Wanafunzi wa shule ya msingi Kilimahewa katika Kijiji cha Usokami katika Kata ya Kibengu wilayani mufindi mkoani iringa akipita jirani na mkutano mkuu wa kijiji wakiwa wamejitwisha ndoo za maji baada ya kutoka shuleni jana. Kijiji cha Usokami kinakabiliwa na tatizo la maji safi na salama kutokana na kijiji hicho kutokuwa kuwa na mradi wowote wa maji ya bomba. (Picha na Friday Simbaya)





Afisa Ardhi wa Wilaya ya Mufindi, Simon Mbago

0 maoni:

Chapisha Maoni