Katibu
Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fisso amekutana na wadau
wa filamu nchi na kufanya nao mazungumzo namna ya kujadili maendeleo ya
sekta hiyo hapa nchini
Rais
wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Bw. Simon Mwakifwamba
akichangia hoja katika kikao kati ya Bodi ya Filamu Tanzania na wadau
wa filamu nchini kujadili maendeleo ya sekta ya filamu.
Katibu
Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fisso akizungumza katika
kikao kati ya Bodi hiyo na wadau wa filamu nchini kujadili maendeleo ya
sekta ya filamu, kushoto ni Mwanasheria wa Wizara ya Habari Utamaduni
Sanaa na Michezo Bw. Patrick Kipangula
Baadhi
ya washiriki kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo,
waandaaji wa filamu na wasanii wakifuatilia kikao kati ya Bodi ya Filamu
Tanzania na wadau wa filamu nchini kujadili maendeleo ya sekta ya
filamu.
Mwanasheria wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw. Patrick Kipangula akifafanua hoja za kisheria katika kikao kikao kati ya Bodiya Filamu Tanzania na wadau wa filamu nchini kujadili maendeleo ya sekta ya filamu, kulia ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fisso.
Mwanasheria wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw. Patrick Kipangula akifafanua hoja za kisheria katika kikao kikao kati ya Bodiya Filamu Tanzania na wadau wa filamu nchini kujadili maendeleo ya sekta ya filamu, kulia ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fisso.
Mjumbe
wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Bw. Wiliam .J. Mtitu akichangia
hoja katika kikao kati ya Bodi ya Filamu Tanzania na wadau wa filamu
nchini kujadili maendeleo ya sekta ya filamu.
( Picha zote na Shamimu Nyaki- WHUSM)W
0 maoni:
Chapisha Maoni