Taarifa kutoka Mkoani Arusha zinaeleza kuwa, Korti Kuu ya Mahakama ya Arusha imemvua Ubunge aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Longido,Mh. Onesmo Ole Nangole kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Taarifa Zaidi zitawajia juu ya tukio hilo.
Awali  Mh. Onesmo Ole Nangole alikuwa na kesi hiyo ya uchahuzi iliyokuwa ikiendelea katika Mahakama ya Arusha.
Mh. Onesmo Ole Nangole pichani (Kulia)