Mhe.January Makamba Akiwasili chuoni hapo.
Mhe.January
Makamba (MB),WaziriwaNchi,Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na
Mazingira ) ameitumia SikuyaTarehe 25 /6/2016 kushiriki katika mahafali
24 yachuo cha bibliaVuga (VUGA BIBLE )kilichopo katika halmashauri ya
Bumbuli mkoani Tanga Vilevile Mhe.January Makamba alipata fursa ya
kukagua baadhi ya miradi ya maendeleo inayofanywa na chuo hicho,
Pia aliupongeza uongozi wa chuo kwakutoa elimu mbalimbali kwa wananchi waishio karibu na chuo na bumbuli kwa ujumla.
Akitazama sehemu ya maaandalizi ya bwawa la kufuga samaki Akitazama sehemu ya maaandalizi ya bwawa la kufuga samaki.
Pichazotena Imani Selemani Nsamila
0 maoni:
Chapisha Maoni