Dakika ya 22, Ibrahim Ally anaiandikia Stars goli la pili ikiwa ni
shambulizi lililoanzia katikati ya uwanja.Mpira umeonekana kuchezwa
upande mmoja na Serengeti kukosa nafasi nyingi za wazi.Mpira ni
mapumziko na Serengeti wanatoka wakiwa mbele kwa goli 2.
Kipindi cha pil kimeanza na timu zote kuwa makini ambapo dakika ya 60, Ally Msengi anaiandikia Serengeti goli la tatu kwa mkwaju wa penati baada ya beki wa Shelisheli kuushika ndani ya 18 na mwamuzi kuamuru penati.
Mchezo kati ya Serengeti Boys na Sechelles unaopigwa hivi sasa uwanja wa Taifa, hadi sasa Serengeti Boys inaongoza kwa bao 3-0.
Kipindi cha pil kimeanza na timu zote kuwa makini ambapo dakika ya 60, Ally Msengi anaiandikia Serengeti goli la tatu kwa mkwaju wa penati baada ya beki wa Shelisheli kuushika ndani ya 18 na mwamuzi kuamuru penati.
Mchezo kati ya Serengeti Boys na Sechelles unaopigwa hivi sasa uwanja wa Taifa, hadi sasa Serengeti Boys inaongoza kwa bao 3-0.
Picha kwa hisani ya Michuzi Blog
0 maoni:
Chapisha Maoni