Jumatano, 29 Juni 2016

KATIBU MKUU WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA Dr. ADELHELM MERU AKUTANA NA MWENYEKITI WA SHIRIKISHO LA VIWANDA DUNIANIA

indexMkurugenzi Mkuu wa Shirikisho la Viwanda Duniani Mr. Li Yong, akimpa zawadi ya picha Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji anayeshughulikia Viwanda Dr. Adelhelm Meru, walipokutana kwa  mazungumzo mafupi wakati wa Mkutano wa “Viwanda na Mazingira” unaoendelea Mjini Ulsan, Korea ya Kusini.

0 maoni:

Chapisha Maoni