Jumamosi, 25 Juni 2016

KIKAO KAZI CHAFANIKISHA UHUISHAJI WA HAZINA BLOG

fe1
Maofisa Mawasiliano wa Wizara ya Fedha na Mipango wakihuisha Blog ya Hazina katika kikao kazi kilichofanyika Hazina Ndogo mjini Dodoma leo, ambapo pia waliwashirikisha baadhi ya mablogger maarufu na watalaam wa tehama.ambapo wadau wa mitandao John Bukuku kutoka Fullshangweblog, Ahmed Michuzi kutoka Michuzi Media Group na Richard Mwakikenda kutoka Kamanda wa Matukio blog wameshiriki katika kikao kazi hicho ambacho kilikuwa maalum kwa ajili ya uhuishaji wa Hazina Blog
fe2Mdau wa mitandao ya kijamii kutoka Michuzi Media Group, Ahmad Michuzi akielekeza jambo wakati kikao kazi hizo cha kuhuisha Blogu ya Wizara ya Fedha na Mipango HAZINA BLOG leo. wa tatu kutoka kulia ni Mdau John Bukuku wa Fullshangweblog akishiriki pamoja na maofisa habari hao  pamoja na Kaimu Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Ben Mwaipaja
fe3Mdau Richard Mwaikenda  wa nne kutoka kushoto waliosimama akiwa pamoja na maofisa habari wa wizara ya fedha wakati mdau Ahmed Michuzzi akielekeza jambo katika kikao hicho

0 maoni:

Chapisha Maoni