Jumapili, 26 Juni 2016

RAIS DR MAGUFULI ATEUA WAKUU WA WILAYA ,DC RICHARD KASESELA ABAKI IRINGA KUTOKANA NA UTENDAJI KAZI WAKE




Mkuu  wa  wilaya ya  Iringa Bw  Richard  Kasesela  akiwa  amejitwisha  kichawani box  lenye dawa  kwa ajili  ya kwenda  kusaidia majeruhi wa ajali ya  basi  iliyotokea  hivi karibuni katika Mlima wa Ipogolo mjini Iringa  dawa  zilizotolewa msaada na mwenyekiti wa kamati ya usalama barabarani mkoa wa Iringa Bw  Salim Abri (picha na MatukiodaimaBlog)

Mwenyekiti wa kamati ya   usalama barabarani mkoa  wa Iringa  Bw  Salim Asas kulia akiwa na mkuu  wa wilaya ya  Iringa Bw Richard Kasesela  kushoto  wakisaidia  kupakia  dawa zilizonunuliwa na kamati ya  usalama barabarani kwa ajili ya majeruhi wa ajali  ya basi
 lenye  namba  za  usajili    T 798 AKV mali ya Lupondije Express  iliyotokea hivi karibuni (picha na MatukiodaimaBlog)


 

Wakati  Rais Dr  John Magufuli  ameteua  wakuu  wapya  wa wilaya ,utendaji kazi wa mkuu  wa  wilaya ya Iringa  Bw  Richard  Kasesela  umembakiza katika   wilaya  hiyo ya  Iringa   huku  wakuu  wenzake wa  wilaya ya Kilolo na  Mufindi  wakiondolewa


0 maoni:

Chapisha Maoni