Jumamosi, 25 Juni 2016

WAZIRI BALOZI DR MAHIGA APONGEZA CHUO KIKUU CHA IRINGA KWA UANZISHWAJI WA JUMBA LA MAKUMBUSHO ......


Mkuu  wa  wilaya ya Iringa Bw  Richard Kasesela  kulia  akiwa na waziri Balozi Dr  Mahiga


 Balozi Dr Augustino Mahiga  akiwa nje ya  jengo la  jumba la makumbusho la mkoa  wa  Iringa huku  akiwa  amevishwa mavazi  ya  chifu wa  wahehe


 Mratibu  wa mradi wa Fahari  Yetu Bw  Jimson  Sanga  akitoa maelezo kwa  waziri Balozi Dr Mahiga kushoto 



WAZIRI  wa mambo  ya  nje  na ushirikiano  wa Afrika  Mashariki Balozi  Augustino Mahiga wa  nne  kushoto akiwa katika  vazi la  kichifu  wa Kihehe  na  viongozi  mbali mbali baada ya  kuzindua  jumba la makumbusho la mkoa  wa Iringa ,wa  kwanza  kushoto ni mkuu wa  wilaya ya  Iringa Bw Richard Kasesela na wa watano kutoka  kushoto ni mwenyekiti wa  wabunge wa  mkoa wa Iringa Bi  Ritta Kabati akifuatiwa na mkuu wa mkoa wa MOrogoro Bw
Kebwe Steven Kebwe
 Watenda kazi wa Makumbusho  hiyo  kupitia  mradi  wa Fahari yetu
 Mratibu  wa mradi  wa Fahari Yetu  Bw  Jimso Sanga  kulia  akiagana na  waziri balozi Dr Mahiga


0 maoni:

Chapisha Maoni