Alhamisi, 30 Juni 2016

WATU 10 WAMEJERUHIIWA KWA AJALI YA GARI MKOANI IRINGA



Eneo la  ajali  kona ya  kisima  cha  bibi
Damu  zikiwa zimetapakaa eneo la  tukio  baada ya  kumtoa majeruhi  aliyekuwa hoi kwa kubanwa na gari
Wananchi  wakitazama ajali  hiyo
Baadhi ya majeruhi wa ajali   hiyo  wakiwa wanasubiri msaada
Eneo  ambalo  ajali imetokea  ni  hapa  katika  foleni  gari  namba tatu  toka  kushoto ni la mwenyekiti wa kamati ya  usalama barabarani  mkoa wa Iringa  Salim Asas   likiwa eneo la  tukio baada ya ajali  kutokea

0 maoni:

Chapisha Maoni