Hadi sasa uwanja wa Taifa hali ni tete ikiwemo ya kiusalama na kiafaya baada ya  umati mkubwa wa watu kufurika katika viunga vya uwanja huo kwa lengo la kuingia licha ya maelfu ya mashabiki wa awali kuingia ndani ya uwanja huo.
Maashabiki hao  wamefurika kushuhudia mpambano wa kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Tp Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia  ya Congo ambapo hakua kiingilio.
pix 02Mashabiki wanavyoonekana waliofurika mapema leo kushuhudia mpambano wa kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Tp Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia  ya Congo leo Juni 28,2016. pix 03Mashabiki wanavyoonekana waliofurika mapema leo kushuhudia mpambano wa kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Tp Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia  ya Congo leo Juni 28,2016.
                                         Picha zote na Raymond Mushumbusi WHUSM