Mtaalamu wa magari Herbet Kubu akiwaelekeza madereva jinsi ya kuangalia usalama wa injini ya gari na utunzaji za magari.
Madereve waliohudhuria mafunzo hayo wakiwa katika picha ya pamoja na mkufunzi Herbet Kubu kiwandani Mbeya.
………………………………………………………………………………………………..
Na Mwandishi wetu
Kampuni
ya TBL Group katika mwendelezo wake wa kuzingatia usalama kazini
imeandaa mafunzo kwa madereva wake wanaosambaza bidhaa zake
yanayohusiana na udereva wa kujihami.Mafunzo hayo yatafanyika kwenye
viwanda vyote vya kampuni na yanaendeshwa na mtaalamu kutoka kampuni ya
CFAO Motors Expert Herbert Kubu ambapo jana ujuzi huo umewafikia
madereva wa kiwanda cha Mbeya
0 maoni:
Chapisha Maoni