01:28
Mlimbwende
wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu (kushoto) na mfanyakazi
mwenzake Beatrice Mkiramweni wakiongozwa na Msimamizi wa Kijiji cha
Matumaini, Sista Rosaria Gargiulo mara baada ya kuwasili katika kituo
hicho kilichopo katika manispaa ya Dodoma karibu na Hoteli ya Mtakatifu
Gasper.(Imeandaliwa na Zainul Mzige
0 maoni:
Chapisha Maoni