Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP
Mtandao, Bi Lilian Liundi akifungua semina kwa Wanaharakati pamoja na
viongozi wa vituo vya taarifa na Maarifa waliofika katika semina hiyo
iliyofanyika katika ukumbi wa TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam. (Picha
na Geofrey Adroph)
Mkuu
wa Program ya Taarifa na Utafiti kutoka TGNP, Gloria Shechambo akitoa
elimu kwa wanaharakati kuhusu utendakazi wao wa kila siku wakati wa
semini iliyofanyika katika ukumbi wa TGNP Mtandao.
Katibu wa Kituo cha Taarifa
na Maarifa cha Kata ya Kibuko, Bw. Valentino Lukoo akitoa ufafanuzi
kuhusu maendeleao yaliyofikia katika kata yao baada ya kuonekana kwa
changamoto nyingi katika kata hiyo
Mwenyekiti wa Kituo cha
Taarifa na Maarifa cha Kata ya Igale, Bi Lidya Sankemwa Mwakalinga
akizungumzia mipango ya kata yao kuhusu utoaji wa taarifa husika katika
kata yao.
Mwanaharakati kutoka Kituo
cha Taarifa na Maarifa cha Kata ya Nsalal Bi. Felister Kais
akizungumzia changamoto wanazozipata katika utoaji wa taarifa.
Mwanaharakati kutoka Mabibo, Bw. Furaha Mbakile akichangia mada
Afisa program Utafiti na
Uchambuzi kutoka TGNP, Bw. Alphonce Stima akiongea jambo wakati wa
utoaji wa Semina kwa Wanaharakati pamoja na viongozi wa vituo vya
taarifa na Maarifa waliofika katika semina hiyo
Wanaharakati pamoja na
iongozi wa vituo vya taarifa na Maarifa wakitazama hotuba ya Waziri wa
Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango anasoma na kuwasilisha Hali ya
Uchumi kwa mwaka 2015 na Mpango wa Maendeleo Bungeni
Afisa program Utafiti na
Uchambuzi kutoka TGNP, Bw. Alphonce Stima akiongea jambo mara baada ya
kumalizika kwa Hotuba ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango
anasoma ama kuwasilisha Hali ya Uchumi kwa mwaka 2015 na Mpango wa
Maendeleo Bungeni Dodoma
Afisa Programu mwandamizi
wa Ushawishi na utetezi kutoka TGNP Mtandao, Bi. Anna Sangai akitoa
elimu wanaharakati pamoja na viongozi wa Taarifa na Maarifa katika
ukumbi wa TGNP jijini Dar es Salaam jana
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake katika Jitihada za Maendeleo (WAJIKI), Janeth Mawinza akichangia mada.
Afisa Program uchambuzi na
Machapisho kutoka TGNP Mtandao, Bw. Deogratius Temba akiwaeleza
wanaharakati pamoja na viongozi wa Taarifa na Maarifa jinsi ya
ufanyakazi wa TGNP Mtandao
Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP
Mtandao, Bi Lilian Liundi(kulia) akifuatilia Bunge kupitia njia ya
Television katika ofisi ya TGNP Mtandao
Baadhi ya Wafanyakazi wa TGNP Mtandao, Wanaharakati, viongozi wa Taarifa na Maarifa pamoja na wananchi wakifuatilia Bunge kwa njia ya Televisheni ndani ya Ukumbi wa TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam
Baadhi ya Wafanyakazi wa TGNP Mtandao, Wanaharakati, viongozi wa Taarifa na Maarifa pamoja na wananchi wakifuatilia Bunge kwa njia ya Televisheni ndani ya Ukumbi wa TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam
0 maoni:
Chapisha Maoni