Mheshimiwa
Naibu Waziri TAMISEMI Seleman Jafo akizungumza na wananchi wakati
alipozindua na kukagua madarasa katika shule hiyo iliyopo Manispaa ya
Dodomah.
Mbunge
wa Dodoma Mjini ambaye pia ni Naibu wa Waziri Vijana na AJIRA Anthony
Mavunde akitoa neno la shukrani wakati wa uzinduzi huo
Mkuu wa wilaya ya Dodoma Jasmine Tiisekwa akitoa taarifa ya mradi huo wakati wa uzinduzi wa madarasa.
PICHA ZOTE NA RAMADHANI JUMA
0 maoni:
Chapisha Maoni