Jumanne, 7 Juni 2016

ASAS DAIRIES LTD TUNAWATAKIA WAISLAM WOTE RAMADHAN KAREEM

  Kampuni ya Asas Dairies Ltd Iringa wanawatakia waislam wote ulimwenguni Ramadhan Kareem

Maziwa ya Asas Dairies Ltd ndio maziwa bora Tanzania popote uendapo usinunue bora maziwa uliza Asas Dairies Ltd ni bidhaa zenye ubora wa hali ya juu tupo kwa ajili yako mtumiaji wa bidhaa zetu na tupo kulinda afya yako ndio maana tunakupatia bidhaa zenye ubora siku zote
aliye kuwa Mgeni  rasmi  katika maadhimisho  ya  siku ya unywaji maziwa  mashuleni mkuu  wa  wilaya ya  Kilolo Bw  Gelard Guninita (mwenye  koti  jeusi kushoto) akiwa na mkurugenzi  wa  kiwanda cha maziwa  cha Asas Dairies ltd Bw Fuad Asas  Abri ,wakiongoza  wanafunzi  zaidi ya 30,000 wa shule za msingi Manispaa ya  Iringa kunywa maziwa fresh

Wanafunzi wa  shule  mbali mbali za Manispaa ya  Iringa  wakishiriki maandamano ya  siku ya unywaji maziwa mashuleni leo
Mkurugenzi mtendaji  wa kiwanda  cha maziwa  cha Asas Dairies Ltd Bw Fuad Asas Abri  akitoa taarifa  ya maadhimisho hayo leo  uwanja  wa  samora

Aliyekuwa wa Tanzania Rais Dr Jakaya Kikwete akipata  maelezo ya  bidhaa  za Asas Daireis Ltd  kutoka kwa afisa masoko  wa kampuni  hiyo  Bw Jimy  alipotembelea  mabanda mbali mbali  katika  maonyesho ya  sikukuu ya   sabasaba yanayotaraji  kuhitimishwa kesho jijini Dar es salaam
  Dr  Kikwete  akipata  maelezo ya  bidhaa za Asas Daireis Ltd kampuni  hii  ni  ndio kampuni bora ya  usindikaji maziwa nchini Tanzania kwa miaka mitatu  mfululizo sasa
Rais  Dr  Kikwete  akitazama  baadhi ya  bidhaa zenye ubora  za kampuni ya Asas Daireis Ltd
 Dr  Kikwete  akifurahia  baada ya  kutembelea  banda ya Asas DaireisLtd jijini Dar es Salaam
Wananchi mbali mbali  wakitembelea  banda  ya Maziwa ya  Asas katika  viwanja  wa Sabasaba jijini Dar es Salaam

0 maoni:

Chapisha Maoni