Mkurugenzi mtendaji wa kiwanda cha maziwa cha Asas Dairies Ltd Bw Fuad Asas Abri akitoa taarifa ya maadhimisho hayo leo uwanja wa samora
Dr Kikwete akipata maelezo ya bidhaa za Asas Daireis Ltd kampuni hii ni ndio kampuni bora ya usindikaji maziwa nchini Tanzania kwa miaka mitatu mfululizo sasa |
Rais Dr Kikwete akitazama baadhi ya bidhaa zenye ubora za kampuni ya Asas Daireis Ltd |
Dr Kikwete akifurahia baada ya kutembelea banda ya Asas DaireisLtd jijini Dar es Salaam |
Wananchi mbali mbali wakitembelea banda ya Maziwa ya Asas katika viwanja wa Sabasaba jijini Dar es Salaam |
0 maoni:
Chapisha Maoni