Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa Wa Arusha,imemhukumu Isack Habakuki(40)
mkazi Wa Olasiti, kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya
shilingi milioni 7 kwa kosa la kumtukana Rais Magufuli kupitia mtandao
wa facebook.
Mshtakiwa amekiri kutenda kosa hilo na amekubali kulipa faini ambapo
mahakama imeamuru alipe fedha hizo kwa awamu mbili. Katika awamu ya
kwanza atalipa July 8 2016 sh mil...
0 maoni:
Chapisha Maoni