Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein
akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali pamoja na
Viongozi wa Wizara ya Habari katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja
leo,[Picha na Ikulu.] 09/06/1026.
MKurugenzi
Mkuu wa Shirika la Habari la Utangazji Zanzibar (ZBC) Hassan Mitawi
alipokuwa akitoa mchango wake wakati wa mkutano uliofanywa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein
kuzungumza na waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali leo katika
ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]09/06/1026.
Mwandishi
wa Shirika la Habari la Utangazji Zanzibar (ZBC)Tv Maulid Kipevu
akitoa mchango wake wakati wa mkutano uliofanywa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein kuzungumza na
waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali leo katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]09/06/1026.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein
akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali pamoja na
Viongozi wa Wizara ya Habari katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja
leo,[Picha na Ikulu.] 09/06/1026.
Baadhi
ya Waandishi wa habari wa Taasisi za Serikali wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein
alipokuwa akizungumza nao leo pamoja na Viongozi wa Wizara ya Habari
katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 09/06/1026.
Baadhi
ya Waandishi wa habari wa Taasisi za Serikali wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein
alipokuwa akizungumza nao leo pamoja na Viongozi wa Wizara ya Habari
katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 09/06/1026.
Mwandishi
mwandamizi wa Shirika la Habari la Utangazji ZBC Tv Khamis Fakih akitoa
mchango wake wakati wa mkutano uliofanywa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein kuzungumza na
waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali leo katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]09/06/1026. Mwandishi
wa Gazeti la Zanzibar leo Hapsa Golo akisisitiza jambo wakati alipokuwa
akitoa mchango wake wakati wa mkutano uliofanywa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein kuzungumza na
waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali leo katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]09/06/1026.
0 maoni:
Chapisha Maoni