Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Mh Luhanga
Mpina Akikabidhi Zawadi kwa Washindi Wajiojishindia Zawadi Mbalimbali
Kutoka Kampuni ya Huawei Kwenye Tamasha la Ajira na Ujasiriamali
Lililofanyika Chuo Kikuu Mzumbe Mkoani Mbeya. Chuo
kikuu cha Mzumbe jijini Mbeya kiliendesha kongamano la Ujasiliamali
ambalo lilihuishwa na shindano la “badirika kwa vitendo” ambapo
Wanafunzi sita walijishindia zawadi mbalimbali zikiwemo simu za mikononi
toka kampuni ya Huawei.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Mh Luhanga Mpina Katika Picha ya Pamoja na Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group Ruge Mutahaba na Afisa Mtendaji Mkuu wa EAG group Imani Kajula na washindi waliojinyakulia Zawadi Mbalimbali.
Washiriki
wa Tamasha Hilo wakisikiliza Kwa Makini Mda Mbalimbali Zilizowasilishwa
Kwenye Tamasha la Ajira na Ujasiriamali Lililofanyika Chuo Kikuu
Mzumbe Kampasi ya Mbeya Kuona picha zaidi za washindi na usiku wa wajasiliamali
0 maoni:
Chapisha Maoni