Mkuu wa mkoa Iringa Amina Masenza akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika chuo cha veta kilichopewa tenda ya kutengeneza madawati kutokana na agizo la mh.Rais
|
Mkuu wa wilaya ya Iringa Ricahard Kasesela akisaini kitabu cha wagaeni |
|
Mkuu
wa mkoa Iringa Amina Masenza akizungumza baada ya kukagua utengenezaji
wa madawati katika ziara aliyoifanya katika chuo cha veta |
|
Mkuu
wa chuo cha ufundi veta Ng'wandu Raphael akisoma taarifa ya
utekelezaji wa utengenezajki wa madawati ya shule za msingi na sekondari
. |
Kutokana na agizo la Mh. Rais DR.John magufuli kuagiza wakuu wa mikoa kukamilishai madawati katika shule za msingi na sekondari zenye uhaba, mkuu wa mkoa amewaagiza wakurugenzi wa Halmashauri zilizopo mkoani hapa kuhakikisha zoezi hilo linakamika hadi ifikapo june 30\2016
0 maoni:
Chapisha Maoni