
Baada ya kuwasili kata ya Kibungu kwa ajili ya kikao akitokea kata ya Ihalimba
Katibu na viongozi wa ccm kata ya wakielekea kwenye chumba cha mkutano
Katibu umoja wa vijana Abdukarimu pamoja kisaini katika kitabu cha wageni

Mwenyekiti wa umoja wa vijana ccm wilaya ya Mufindi Felx Lwimbo akizungumza na viongozi wa vijana katika kikao


Katibu wa umoja wa viajana ccm mkoa wa Iringa Abdukarim Alamga akizungumza na viongozi wa umoja wa vijana kata ya Ihalimba

Ofisi ya chama cha mapinduzi ccm kata ya Kibengu
Katibu wa umoja wa Vijana ccm [Uvccm ]Mkoa wa Iringa Abdukarimu Alamga amewataka vijana nchini kuhamasika kujiunga katika vikundi vilivyosajili na kuunda vipya ili vipate ujasili na hatimae waweze kunufaika na fusla zinazotolewa na serikali ikiwa ni pamoja na mikopo ya fedha.
Akizungumza
na viongozi wa umoja wa vijana wa ccm
kata ya Ihalimba na Kibengu zilizopo jimbo la Mufindi kusini Halmashauri
ya wilaya ya Mufindi Mkoani hapa, ikiwa ni moja ya ziara yake aliyoifanya jana
ikiwa ni mwendelzo wa ziara yake ndani ya mkoa wa Iringa.
Alamga
alisema kuwa lengo la ziara hiyo ndani
ya mkoa wa Iringa ni kuhamasisha vijana waweze
kuamka na kufanya kazi kwa bidii na kuwahamasisha wale ambao
hajawajiunga katika vikundi vya ujasiliamali wajiunge ili waweze kunufaika na
mikopo imnayotolewa na serikali, kuachana na tabia ya kukaa vijiweni na
kuilaumu serikali kila kukicha
‘’’’’’Bajeti
ya fedha 2016\17 imeshasomwa bungeni na sote tumeisikia, ndani yake kuna
utekelezaji wa ahadi ya Mh.Rais aliyoitoa wakati wa kampeni ya uchaguzi mkuu
2015 kwa kupitria irani ya chama cha mapinduzi ccm kuhusu Mil.50 kwa kila
kijiji.Fedha hizo zinatarajia kuanza kutolewa mwezi julai 2016 na
zitawanufaisha waliojiunga katika vikundi vya mbalimbali vilivyosajiliwa kihalali,hivyo
ninawasihi vijana muamke na kuchangamkia hiyo fulsa’’’’’’’’ alisema
Alisema ni jambo la kushangaza kijana kuwa tegemwezi
wakati kila mwaka asilimia 10 za fedha zinatengwea kwa kila Halmashauri nchini
,ambapo asilimia 5 ni kwaa ajili ya vijana
na asilimia 5 ni kwa ajili ya akimna mama lakini inasikitisha kuona kuona
vijana kila kukicha wanalalamika ugumu
wa maisha,aliwataka nawaomba waamumke na kujiunga
ili waweze kupata mikopo kwa ajili ya maendeleo yao na Taifa kwa ujumla.
Aidha Katibu
huyo aliongeza kuwa,chama cha mapinduzi ccm kinatarajia kufanya uchaguzi
wake ndani ya chama 2017 kwa mujibu wa
katiba inavyosema,aliwataka vijana kujitokeza kwa wingi kuchukua fomu kwa ajili
ya kugombea nafasi mbalimbali bila kuogopa
kwasababu kuchagua na kuchaguliwa ni haki ya kila mwanachama wa ccm
‘’’’’’’’
Tunapoelekea uchaguzi mkuu ndani ya chama tunatakiwa kluiwa makinini sana kuwachagua viongozi bora watakaokitendea haki
chama chetu kwa kufanya jkazi kufuata kanuni na taratibu zilizopo katika Irani ili kisiyumbe,Vijana mna nafasi kubwa katika uongozi,hivyo jitokezeni kuwania
nafasi za uongozi ndani ya chama ili
tuijenge ccm Imara’’’’’’alisema
Kazi kubwa
ya umoja wa vijana ccm ni ulinzi wa viongozi ndani ya chama na kufanya kazi za
chama,hivyo vijana tunatakiwa kujiunga
kwa wingi ili tuweze kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali mara tu uchaguzi
utakapotangazwa 2017
Alisema
Chama cha mapinduzi ccm lazima
kisimamie na kuhamasisha utendaji wa
serikali kuanzia ngazi ya chini kwasababu utekelezaji wake unatokana na Irani ya chama
cha Mapinduzi,hivyo viongozi wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kuendana
na Irani inavyosema na si vinginevyo.
Felx Lwimbo
ni mwenyekiti wa umoja wa vijana uvccm wilaya ya Mufindi aliwataka
viongozi wa chama katika kata hizo kubadilika mara moja kwa kufanya vikao vya mara kwa mara ili kuleta uhai wa chama ndaini ya mitaa yao.
Kwa wale
viongozi wenye tabia ya kufanya kazi kwa mazoea huu siyo wakati wake,hatuwezi
kuendana na kasi ya serikali ya awamu ya Tano chini ya uongozi wake DR.Magufuli
kwa kufanya kazi kwa mazoea.Zalisheni wanachama wapya na kuwahamasisha wajiunge
katika vikundi ili waweze kupata mikopo.
‘’’’’’Natoa 14 kwa viongozi wa serikali ndani ya kata na
chama muhakikishe vikundi vyote ambavyo
havijasajiliwa viweze kusajiliwa ili
fedha zitakapokuja kuanzia hizi
zainazotolewa na kila wilaya na mill.50 za Mh. Rais za kila kijiji wananchi waweze kupata kutokana na vikundi
vyao’’’’’alisema












0 maoni:
Chapisha Maoni