Mabondia Hussein Itaba kushoto akitunishiana misuli na Ibrahimu Tamba baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga julay 16 katika ukumbi wa traveltain uliopo magomeni mpipa |
Bondia
Ibrahimu Tamba kulia akitia saini ya kuzipiga na Hussei Itaba kushoto
anaeshudia katikati ni promota wa pambano huo Dotto Texas mpambano
utafanyika katika ukumbi wa traveltain uliopo magomeni mpipa
Bondia
Hussein Itaba kushoto akitia saini ya kuzipiga na Ibrahimu Tamba kulia
anaeshudia katikati ni promota wa pambano huo Dotto Texas mpambano
utafanyika katika ukumbi wa traveltain uliopo magomeni mpipa .
Picha na SUPER D BOXING NEWS
…………………………………………………………………………………………………………………
Na Mwandishi Wetu MABONDIA Ibrahimu Tamba na Hussein Itaba wametia saini ya kuzipiga siku ya julay 16 katika ukumbi wa travertain Magomeni
akizungumza wakati wa utiaji saini wa mikataba hiyo promota wa mpambano huo Dotto Tesax amesema ameamua kuwakutanisha mabondia hawo ambao ni mahasimu katika kitongoji cha manzese kutaka kujua ni nani zaidi kati yao
mabondia hawo wamekuwa wikitambiana kila kona wanazopita sasa katika kutaka kujua nani zaidi nimeambua kuwandalia mpambano uho ambao utafanyika siku ya julay 16 katika kumbi wa Traveltain magomeni
hivyo napenda kuwambia mashabiki wa mchezo wa masumbwi kujitokeza kwa wngi siku hiyo ambapo kutakuwa na mapambano mengine ya utangalizi ambayo tutawatangazia kadri muda utakapo wadiwa
baada ya kukutanishwa kwa mara ya kwanza mabondia hawo kila mmoja alikuwa na lake la kusema kwa ajili ya kutamba bondia Itaba amesema anashukuru sana kukutanishwa na Tamba kwa kuwa alikuwa ana usongo nae kwa mda mrefu
nae Tamba alijibu mapigo kwa kusema kuwa yeye awezi kupigwa na bondia mgeni katika anga za masumbwi kwa kuwa mpaka sasa ana mechi chache sana katika gem hii hivyo sitarajii kupoteza mchezo wangu kwake nawaomba mashabiki zangu waje kwa wingi waone ninavyo mgalagaza Itaba bila huruma na sito jari chochoto wakati nipo ulingioni kwani mikono yangu itaongea wakati nipo uringoni
…………………………………………………………………………………………………………………
Na Mwandishi Wetu MABONDIA Ibrahimu Tamba na Hussein Itaba wametia saini ya kuzipiga siku ya julay 16 katika ukumbi wa travertain Magomeni
akizungumza wakati wa utiaji saini wa mikataba hiyo promota wa mpambano huo Dotto Tesax amesema ameamua kuwakutanisha mabondia hawo ambao ni mahasimu katika kitongoji cha manzese kutaka kujua ni nani zaidi kati yao
mabondia hawo wamekuwa wikitambiana kila kona wanazopita sasa katika kutaka kujua nani zaidi nimeambua kuwandalia mpambano uho ambao utafanyika siku ya julay 16 katika kumbi wa Traveltain magomeni
hivyo napenda kuwambia mashabiki wa mchezo wa masumbwi kujitokeza kwa wngi siku hiyo ambapo kutakuwa na mapambano mengine ya utangalizi ambayo tutawatangazia kadri muda utakapo wadiwa
baada ya kukutanishwa kwa mara ya kwanza mabondia hawo kila mmoja alikuwa na lake la kusema kwa ajili ya kutamba bondia Itaba amesema anashukuru sana kukutanishwa na Tamba kwa kuwa alikuwa ana usongo nae kwa mda mrefu
nae Tamba alijibu mapigo kwa kusema kuwa yeye awezi kupigwa na bondia mgeni katika anga za masumbwi kwa kuwa mpaka sasa ana mechi chache sana katika gem hii hivyo sitarajii kupoteza mchezo wangu kwake nawaomba mashabiki zangu waje kwa wingi waone ninavyo mgalagaza Itaba bila huruma na sito jari chochoto wakati nipo ulingioni kwani mikono yangu itaongea wakati nipo uringoni
Katika Mchezo huo kutakua na
Uuzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutambua sheria
zake mbalimbali zitakazokua zikisambazwa na kocha wa mchezo huo mkoa wa
kimichezo wa Ilala Rajabu Mhamila ‘Super D’ kwa ajili ya kuwapa
mambondia mbalimbali mbinu za mchezo na mashabiki kujua sheria za
masumbwi.
Ndani yake wakiwemo mabondia
Floyd Mywether, Manny Paquaio, Amiri Khani, Mohamedi Ali, Mike Tayson
David Haye na wengine ambapo kutakuwa na matukio ya mazoezi yao katika
mataifa yao ikumbukwe kuwa ni mabingwa wa dunia. na kutakuwa na
mapambano makubwa matano ya utangulizi.
0 maoni:
Chapisha Maoni