Jumamosi, 25 Juni 2016

LUHWAVI ATEMBELEA UHURU FM, AZUNGUMZA NA WATUMISHI KUJUA YANAYOWASIBU KATIKA UTENDAJI WAO

 
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akiongozwa na Mkurugezi wa Mawasiliano Makao Makuu ya CCM, Godfrey Chongolo na Mkuu wa Chumba cha Habari Uhuru FM, Pius Ntiga, kwenda katika Ofisi za Uhuru Fm, mtaa wa Ukami, katika Jengo la Ofisi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam, kuzungumza na watumishi wa Radio hiyo ili kujua kwa undani masuala mbalimbali wanayokabiliana nayo katika utendaji wao wa kazi za kila siku, jana.
  Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akifurahia jambo na Mkurugezi wa Mawasiliano Makao Makuu ya CCM, Godfrey Chongolo wakati wakienda katika Ofisi za Uhuru Fm, mtaa wa Ukami, katika Jengo la Ofisi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam, kuzungumza na watumishi wa Radio hiyo ili kujua kwa undani masuala mbalimbali wanayokabiliana nayo katika utendaji wao wa kazi za kila siku, jana.
  Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akisaini kitabu cha wagen baada ya kufika katika Ofisi za Uhuru FM
 Mkurugenzi wa Uhuru FM, Angel Akilimali akikabidhi taarifa ya Uhuru FM kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajab Luhwavi baada ya kumsomea
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajab Luhwavi akimshukuru Mkurugenzo wa Uhuru FM, Ange Akilimali wakati akipokea taarifa hiyo.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akipatiwa maelezo katika chumba cha kufuatilia na kuratibu habari cha Uhuru FM 
 Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru FM, Angel Akilimali akimpa ufafanuzi Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajab Luhwavi kuhusu chumba hicho cha kufuatilia na kuratibu habari 
  Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru FM, Angel Akilimali akimpa ufafanuzi Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajab Luhwavi kuhusu chumba hicho cha kufuatilia na kuratibu habari 
  Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru FM, Angel Akilimali akimpa ufafanuzi Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajab Luhwavi kuhusu chumba hicho cha kufuatilia na kuratibu habari

0 maoni:

Chapisha Maoni