Alhamisi, 2 Juni 2016

HALMASHAURI ZA BUTIAMA NA RORYA KUTEKELEZA MRADI WA PS3 AWAMU YA KWANZA MKOANI WA MARA

 
Mkuu wa Wilaya ya Butiama, Annarose Nyamubi akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Felix Lyniva wakifuatilia mada katika mafunzoa ambapo Halmashauri za Wilaya zao za Butiama na Rorya mkoani Mara ndio zimechaguliwa kuwa za kwanza kuanza utekelezaji wa mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya sekta za umma(PS3) katika sekta za afya, elimu na kilimo.
***************
HALAMSAHAURI Za Wilaya ya Rorya na Butiama
mkoani Mara zimechaguliwa kuwa za kuanza utekelezaji wa mradi Uimarishaji
Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) chini ya ufadhili wa Shirika la Maemdeleo la
Kimataifa la Marekani (USAID).
Tayari watendaji kutoka halamshauri
husika wanapatiwa mafunzo ya siku moja leo na wiki ijayo madiwani wao nao
watapatiwa mafunzo maalum ya namna ya kushiriki utekelezaji wa mradi huo. Mafunzo

0 maoni:

Chapisha Maoni