Jumatano, 1 Juni 2016

DAR BREW YAZINDUA MUONEKANO MPYA WA CHIBUKU SUPER


 Meneja Masoko wa Kiwanda cha Dar Brew, Oscar Shelukindo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu uzinduzi wa chupa mpya yenye ujazo wa ml 750 za bia aina ya Chibuku. Kulia ni Meneja Mauzo na Usambazaji wa kiwanda hicho, Fredy Kazindogo.
 Meneja Mauzo na Usambazaji wa kiwanda hicho, Fredy Kazindogo (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo.
 Ofisa Mauzo wa Kiwanda hicho, Agripina Kusaga (kushoto), akizungumza kwenye uzinduzi huo.
 Taswira meza kuu. Kutoka kulia ni Ofisa Mauzo, Neema Mvungi, Meneja Mauzo na Usambazaji, Fredy Kazindogo, Meneja Masoko, Oscar Shelukindo na Ofisa Mauzo, Agripina Kusaga.

0 maoni:

Chapisha Maoni