Jumamosi, 25 Juni 2016

Bodi ya Filamu yakutana na Chama cha Waigizaji Tanzania kujadili maendeleo ya sanaa nchini.

C1Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akizungumza na viongozi wa Chama cha Waigizaji Tanzania katika kikao cha kujadili maendeleo ya wasanii na sanaa nchini kushoto ni Mwenyekiti wa chama hicho Bw. Eliya Mjatta.
C2Mwenyekiti wa Chama cha Waigizaji Tanzania Bw. Eliya Mjatta akichangia hoja katika kikao baina ya Chama chake na Bodi ya Filamu Tanzania katika kujadili maendeleo ya wasanii na sanaa nchini kulia ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo.
C3Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akisisitiza jambo katika kikao baina ya Bodi yake na viongozi wa Chama cha Wasanii Tanzania katika kujadili maendeleo ya wasanii na sanaa nchini.
C4Afisa Utamaduni kutoka Bodi ya Filamu Tanzania Bw. Wilhadi Tairo akichangia hoja katika kikao kati ya Bodi ya Filamu na Chama cha Wasanii Tanzania katika kujadili maendeleo ya wasanii na sanaa nchini.
C5katibu Mkuu wa chama cha Wasanii Tanzania Bw. Twiza Mbarouk akichangia hoja katika kikao kati ya Chama cha Wasanii Tanzania na Bodi ya Filamu katika kujadili maendeleo ya wasanii na sanaa nchini.
C6Afisa Utamaduni kutoka Bodi ya Filamu Tanzania Bw. Clarence Chelesi akichangia hoja katika kikao kati ya Bodi ya Filamu na Chama cha Wasanii Tanzania katika kujadili maendeleo ya wasanii na sanaa nchini.
C7katibu Mkuu wa Shirikisho la Filamu Tanzania(TAFF)  Bw. Mathew Bicco (kushoto)akichangia hoja katika kikao kati ya Bodi ya Filamu na Chama cha Wasanii Tanzania katika kujadili maendeleo ya wasanii na sanaa nchini.
Picha zote na Raymond Mushumbusi WHUSM

0 maoni:

Chapisha Maoni