Jumatatu, 13 Juni 2016

Walipuaji wa kujitoa muhanga wauwa 12 Damascus


Watu 12 wameuawa katika milipuko miwili ya mabomu viungani mwa mji wa Damascus, katika eneo la madhabahu muhimu ya Waislamu wa madhehebu ya Shia.

Image copyrightREUTERS
Image captionShambulio la Damascus

Shirika la habari la kitaifa linasema mlipuko mmoja umetekelezwa na mshambuliaji wa kujitolea muhanga.

Image copyrightREUTERS
Image captionDamascus

Mlipuko wa pili umetokana na bomu lililotegwa ndani ya gari.

Image copyrightAFP
Image captionDamascus

Watu wawili wameuawa karibu na madhabahu ya Sayyeda Zeinab yanayoheshimiwa na Washia kote ulimwenguni.

Image copyrightAP
Image captionDamascus

Eneo hilo limekuwa likilengwa kwa mabomu na wapiganaji wa Islamic State.

0 maoni:

Chapisha Maoni