Alhamisi, 16 Juni 2016

MATUKIO KATIKA PICHA JIJINI DAR ES SALAAM

DSC00575Mchuuzi wa samaki akiwa katika harakati za kutafuta wateja wakuwauzia samaki maeneo ya Posta  jijini Dar es Salaam .
DSC00573Mchuuzi wa samaki akimuuzia samaki mteja pembezoni mwa barabara ya Azikiwe Posta mpya jijini Dar es Salaam.
photo0100 photo0101Mkazi wa jiji la Dar es Salaa akipita jirani na Chemba inayotiririsha maji taka katika kituo cha daladala cha zamani mwenge jijini Dar es Salaam imekuwa kero ya muda mrefu kwa wakazi wa eneo hilo na wafanyabiashara kutokana na chemba hilo kutoa harufu mbaya.
U1Takataka zilizorundikana katika machinjio ya kuku katika Soko la vyakula Kisutu jijini ambazo huchelewa kuzolewa na kupelekea kutoa harufu mbaya na wadudu ambao imekuwa kero kwa wafanyabiashara na watumiaji wa Machinjio hayo.

0 maoni:

Chapisha Maoni