Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George
Simbachawene akitoa maelekezo kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa
Mikoa katika kikao cha kujadili mwelekeo wa bajeti za Mikoa na
Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kilichofanyika katika ukumbi wa
Karimjee jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Baadhi
ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawalawa Mikoa kutoka Tanzania Bara
wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George
Simbachawene (hayupo pichani) katika kikao cha kujadili mwelekeo wa
bajeti za Mikoa na Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2016/2017
kilichofanyika katika ukumbiwaKarimjeejijini Dar es Salaam hivikaribuni.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George
Simbachawene (kushoto) akipokea taarifa ya watumishi hewa kutoka kwa
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Felix Ntibenda (kulia) hivi karibuni katika
ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Naibu
Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Selemani Jaffo na katikati ni Katibu
Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw. Mussa Iyombe.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George
Simbachawene (kushoto) akipokea taarifa ya watumishi hewa kutoka kwa
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Fatma Dendego (kulia) hivi karibuni katika
ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.Wa kwanza kushoto ni Naibu
Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Selemani Jaffo na katikati ni Katibu
Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw. Mussa Iyombe.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George
Simbachawene (kushoto) akipokea taarifa ya watumishi hewa kutoka kwa
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Rehema Nchimbi (kulia) hivi karibuni katika
ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Naibu
Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Selemani Jaffo na katikati ni Katibu
Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw. Mussa Iyombe.
0 maoni:
Chapisha Maoni