Jumamosi, 2 Aprili 2016

Wakuu wa Mikoa Waagizwa kutumia Mfumo wa Kieletroniki kukusanya Mapato


K2Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene akitoa maelekezo kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa katika kikao cha kujadili mwelekeo wa bajeti za Mikoa na Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kilichofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
K1Baadhi ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawalawa Mikoa kutoka Tanzania Bara wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene (hayupo pichani)  katika kikao cha kujadili mwelekeo wa bajeti za Mikoa na Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kilichofanyika katika ukumbiwaKarimjeejijini Dar es Salaam hivikaribuni.
K3Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene (kushoto) akipokea taarifa ya watumishi hewa kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Felix Ntibenda (kulia) hivi karibuni katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Selemani Jaffo na katikati ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw. Mussa Iyombe.
K4Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene (kushoto) akipokea taarifa ya watumishi hewa kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa  Mtwara Mhe.  Fatma Dendego (kulia) hivi karibuni katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.Wa kwanza kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Selemani Jaffo na katikati ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw. Mussa Iyombe.
K5Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene (kushoto) akipokea taarifa ya watumishi hewa kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Rehema Nchimbi (kulia) hivi karibuni katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Selemani Jaffo na katikati ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw. Mussa Iyombe.

0 maoni:

Chapisha Maoni