Jumamosi, 2 Aprili 2016

WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA JENGO JIPYA LA OFISI YA MAKAMU WA RAIS.



9Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu waRais- Muungano Mazingira Mh. January Makamba akiongea na Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria walipotembelea kukagua mradi wa ujenzi wa  jengo jipya la Ofisi ya Makamu wa Rais. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Mohamed Omary.
10Katibu Mkuu  Ofisi ya Mkamu wa Rais Mbarak Abdulwakil akisoma taarifa ya mradi wa ujenzi wa jengo jipya la Ofisi ya Makamu wa Rais mbele ya Wajumbe wa Kmati ya bunge ya Katiba na Sheria (hawapo pichani) walipotembelea Ofisini hapo kukagua mradi huo.
11Sehemu ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge na sheria wakisikiliza kwa makini taarifa ya mradi wa ujenzi wa  jengo jipya la Ofisi ya Makamu wa Rais iliyokua ikisomwa na Katibu Mkuu (hayupo pichani)

0 maoni:

Chapisha Maoni