03:43
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu waRais- Muungano Mazingira Mh. January Makamba
akiongea na Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria
walipotembelea kukagua mradi wa ujenzi wa jengo jipya la Ofisi ya
Makamu wa Rais. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Mohamed Omary.
Katibu
Mkuu Ofisi ya Mkamu wa Rais Mbarak Abdulwakil akisoma taarifa ya mradi
wa ujenzi wa jengo jipya la Ofisi ya Makamu wa Rais mbele ya Wajumbe wa
Kmati ya bunge ya Katiba na Sheria (hawapo pichani) walipotembelea
Ofisini hapo kukagua mradi huo.
Sehemu
ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge na sheria wakisikiliza kwa makini taarifa
ya mradi wa ujenzi wa jengo jipya la Ofisi ya Makamu wa Rais iliyokua
ikisomwa na Katibu Mkuu (hayupo pichani)
0 maoni:
Chapisha Maoni