Aliyekuwa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji
Makeme Mwadini akitoa shukurani kwa wafanyakazi wa Wizara ya Katiba,Sheria,Utumishiwa Umma na Utawala Bora wakati wa makabidhiano ya Ofisi na Waziri wa Nchi
Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishiwa Umma na Utawala Bora Mhe Haroun
Ali Suleiman leo katika ukumbi wa Jengo la Wizara ya Utumishi wa Umma
Shangani Mji Mkongwe wa Zanzibar, baada ya uteuzi uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheun,[Picha na Ikulu.]
Aliyekuwa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji
Makeme Mwadini akikabidhiana Ofisi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Katiba,Sheria,Utumishiwa Umma na Utawala Bora Mhe Haroun Ali Suleiman
leo katika ukumbi wa Jengo la Wizara ya Utumishi wa Umma Shangani Mji
Mkongwe wa Zanzibar, baada ya uteuzi uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheun,[Picha na Ikulu.]






0 maoni:
Chapisha Maoni