Ijumaa, 8 Aprili 2016

MAMA GRACA AMTEMBELEA WAZIRI SIMBACHAWENE

10Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. George Simbachawene (kulia) akiongea na Mama Graca Machel (kushoto) alipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es salaam.
11Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. George Simbachawene akiongea na Mama Graca Machel (hayupo pichani) alipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es salaam.
12Mama Graca Machel akiongea na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. George Simbachawene (hayupo pichani) alipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es salaam.
13Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. George Simbachawene (kulia) akiteta jambo na Mama Graca Machel (kushoto) mara baada ya mazungumzo ofisini kwake leo jijini Dar es salaam.
14Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. George Simbachawene (kulia) akiagana na Mama Graca Machel (kushoto) mara baada ya mazungumzo ofisini kwake leo jijini Dar es salaam.
(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO)

0 maoni:

Chapisha Maoni