Jumanne, 12 Aprili 2016

WAZIRI WA AFYA ATOA TAARIFA YA KIPINDUPINDU LEO

mwl01
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza na waandishi wa habari ambao hawapo  pichani kuhusu ugonjwa wa kipindupindu kwa mujibu wa takwimu za wiki iliyopita kuanzia Aprili 4 hadi 10 mwaka huu, ambapo wagonjwa walioripotiwa ni 368 ikilinganishwa na za wiki ya Machi 28 hadi Aprili 3, mwaka huu idadi ya wagonjwa walioripotiwa ilikuwa 531.Hivyo jumla watu wagonjwa walioripotiwa tangu ugonjwa huo uanze ni 20,655 na waliopoteza maisha ni watu 326.  
Picha kwa hisani ya  Wizara ya Afya.
????????????????????????????????????

0 maoni:

Chapisha Maoni