Kutoka
kushoto ni Emmanuel Buttorn, Rose Minja (Mkurugenzi Msaidizi Idara ya
Watoto) na Christopher Mushi wote kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika mafunzo ya waandishi wa habari kuhusu zana ya mawasiliano kuzuia ukatili dhidi ya watoto yaliyofanyika Morogoro. Mafunzo
hayo ambayo yameandaliwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
wazee na Watoto pamoja na shirika la watoto duniani (UNICEF) na kampuni
ya True Vision Production yamehudhuliwa na waandishi wa habari kutoka
redio mbalimbali zinazorusha kipindi cha Walinde Watoto.
. |
0 maoni:
Chapisha Maoni