Ole Kujan (wa pili kushoto) akipata maelekeo juu ya ufungaji wa moja ya
mtambo wa umeme wa nishati ya jua (Solar) kutoka kwa Mhandisi Zuhura
Semboji mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya wiki mbili kwa wahandisi na
mafundi wa Temesa.
Ole Kujan(katikati) akiangalia moja ya kifaa cha kupimia umeme
kinachotumika katika mafunzo kwa wahandisi na mafundi wa Temesa
yaliyofunguliwa leo.
mitambo ya umeme wa nishati ya jua (Solar) Katika mafunzo ya wahandisi na
mafundi wa Temesa yaliyofunguliwa leo.
na kuunga nyaja katika moja ya mitambo ya umeme wa nishati ya jua (Solar)
Katika mafunzo ya wahandisi na mafundi wa Temesa yaliyofunguliwa leo.
moja ya mtambo wa umeme wa nishati ya jua (Solar) Katika mafunzo ya wahandisi
na mafundi wa Temesa yaliyofunguliwa leo.
……………………………………………………………………
Na Raymond Mushumbusi MAELEZO
Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) ikishirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es
Salaam wanaendesha mafunzo ya wiki mbili kwa Wahandisi na mafundi wa Temesa
ili kuwajengea uwezo katika kutumia teknolojia ya umeme wa nishati ya jua.
Akifungua mafunzo hayo leo Jijini Dar es Salaam Kaimu Mtendaji Mkuu TEMESA
Mhandisi Manase Ole Kujan amesema lengo la mafunzo hayo ni kuwaongezea
uwezo wahandisi na mafundi ili kuweza kutumia teknolojia ya umeme wa
nishati ya jua ambao umekuwa na tija kubwa hasa kwa sehemu ambazo umeme wa
kawaida haujafika.
“Nishati ya umeme wa jua imeshika kasi kwa sasa na inatumiwa sana katika
maeneo ambayo umeme wa kawaida haujafika hivyo basi kwa mafunzo haya
wahandisi na mafundi wetu wataweza kushirikiana na wadau mbalimbali katika
Salaam wanaendesha mafunzo ya wiki mbili kwa Wahandisi na mafundi wa Temesa
ili kuwajengea uwezo katika kutumia teknolojia ya umeme wa nishati ya jua.
Akifungua mafunzo hayo leo Jijini Dar es Salaam Kaimu Mtendaji Mkuu TEMESA
Mhandisi Manase Ole Kujan amesema lengo la mafunzo hayo ni kuwaongezea
uwezo wahandisi na mafundi ili kuweza kutumia teknolojia ya umeme wa
nishati ya jua ambao umekuwa na tija kubwa hasa kwa sehemu ambazo umeme wa
kawaida haujafika.
“Nishati ya umeme wa jua imeshika kasi kwa sasa na inatumiwa sana katika
maeneo ambayo umeme wa kawaida haujafika hivyo basi kwa mafunzo haya
wahandisi na mafundi wetu wataweza kushirikiana na wadau mbalimbali katika






0 maoni:
Chapisha Maoni