Alhamisi, 7 Aprili 2016

UMMY MWALIMU AZINDUWA KAMPENI YA MZEE KWANZA MKOANI MORONGORO LEO

UMY1
Waziri wa Afya Maendeleo ya  Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu  akizungumaza na wandishi wa habari juu ya uzinduzi wa kapeni ya Wazee kwanza toa kipaumbele apate huduma, leo Mkoani Morogoro kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kibwe Stephen
UMY2
Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima y Afya (NHIF)  Michael  Mhando Akizungumaza na wazee wa Mkoa wa Morogoro leo`
UMY3
Wazee wakimsikiliza Waziri wa Afya Maendeleo ya  Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu 
(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya jamii )

0 maoni:

Chapisha Maoni