Jumamosi, 14 Januari 2017

RC IRINGA AONGOZA WANANCHI KATIKA MAZOEZI KIAFYA UWANJA WA SAMORA ASUBUHI YA LEO

Posted by Esta Malibiche on JAN 14,2017


Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza katikati wa pili kulia akiwa na mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa Ritta Kabati (CCM) wakiongoza mazoezi kwa wanawake watumishi na wasio watumishi pamoja na baadhi ya wanaume leo katika uwanja wa Samora mazoezi ambayo yataendelea kila jumamosi mjini hapa Picha zote na MatukiodaimaBlog


Baadhi ya askari wanawake walioshiriki mazoezi leo uwanja wa Samora Iringa.

Wanawake na wananchi wakitoka uwanja wa samora katika mazoezi leo.

Mmoja ya wanajeshi Bw Kimbavala aliyeshiriki kutoa mazoezio leo.



DC Kasesela akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Tanesco Iringa walioshiriki mazoezi

Rc Iringa akihamasisha wanawake na wananchi Iringa kujitokeza katika mazoezi jumamosi ijayo tena

Mazoezi yakiendelea kwa wote











RC Iringa wa tatu kushoto akifuatiwa na mbunge Kabati



RC akionyesha uwezo katika mazoezi











DC Richard Kasesela akiwajibika katika mazoezi





















Kasesela akionyesha mazoezi leo uwanja wa samora Iringa















Afisa habari Manispaa ya Iringa Sima Bingileki katikati akishiriki mazoezi







Baadhi ya maofisa watendaji kata wakiwa katika mazoezi













vyombo vya ulinzi na usalama mkoa wa Iringa nanvyo vyashiriki mazoezi kwa kuzunguka mtaani mji wa Iringa















Ni mazoezi kwa wote mkoa wa Iringa.

0 maoni:

Chapisha Maoni