Jumamosi, 14 Januari 2017

NAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU KAZI VIJANA NA AJIRA ATHONY MAVUNDE AWASIHI VIJANA KUJISHUGULISHA

 Posted by Esta Malibiche on JAN 14,2017  in NEWS

Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi,vijana na ajira Anthony Mavunde akizungumza na vija waendesha bodaboda na wajasiliamali wa stendi ya magari Mafinga Mkoani Iringa

MUFINDI
Naibu Waziri ofisi ya waziri mkuu kazi vijana na ajira Anthony Mavunde amewasihi vijana kuchangamkia fursa zilizopo,na kuwataka kufanya kazi kwa bidii ili waweze kujikwamua kiuchumi.

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na vijana mbalimbali waendesha bodaboda na wajasiliamali wa eneo la stendi ya magari MjiniMafinga Mkoani Iringa,katika ziara yake aliyoifanya hivi karibuni Mkoani Iringa.
Katika ziara yake hiyo alikagua viwanda na mashamba ya miti wilayani Mafinga na kuzungumza na wafanyakazi,na hatimae kutatua kero zao za msingi za masuala ya kazi.

Aidha alisikiliza  kero na changamoto zinazowakabili vijana na kuahidi kuzifanyia kazi kwa hara ikiwa nipamoja na kuzitatua.

Vijana waendesha bodaboda na wajasiliamali wakitoa kero zao na changamoto zinazowakabili kwa Naibu waziri wa Vijan na ajira Anthony Mavunde

 Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi,vijana na ajira Anthony Mavunde akizungumza na vija waendesha bodaboda na wajasiliamali wa stendi ya magari Mafinga Mkoani Iringa

Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi,vijana na ajira Anthony Mavunde akizungumza na vija waendesha bodaboda na wajasiliamali wa stendi ya magari Mafinga Mkoani Iringa

 Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi,vijana na ajira Anthony Mavunde akizungumza na vija waendesha bodaboda na wajasiliamali wa stendi ya magari Mafinga Mkoani Iringa

 Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi,vijana na ajira Anthony Mavunde akizungumza na vija waendesha bodaboda na wajasiliamali wa stendi ya magari Mafinga Mkoani Iringa

0 maoni:

Chapisha Maoni