Jumatano, 18 Januari 2017

MKUU WA WILAYA YA BARIADI FESTO KISWAGA AKAGUA SHAMBA LITAKALOTUMIKA KATIKA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

Posted by Esta Malibiche on JAN 18,2017 IN NEWS

Mkuu wa wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu Festo Kiswaga akikagua   shamba litakalotumika katika kilimo cha umwagiliaji,lililotengwa kwa ajili ya kupanda zao la mpunga katika kata ya mwasubuya wilaya ya Bariadi.

Mkuu wa wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu Festo Kiswaga akitoa maelekezo katika  shamba litakalotumika katika kilimo cha umwagiliaji,lililotengwa kata ya mwasubuya wilaya ya Bariadi.

Mkuu wa wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu Festo Kiswaga akitoa maelekezo katika  shamba litakalotumika katika kilimo cha umwagiliaji,lililotengwa kata ya mwasubuya wilaya ya Bariadi.

Mkuu wa wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu Festo Kiswaga ametembelea eneo la shamba,kwa lengo la kukagua shamba litakalotumika  kwa ajili ya Kilimo cha umwagiliaji katika kata ya mwasubuya wilaya ya Bariadi. 
Eneo hilo lenye ekari zaidi ya 500,limetengwa kwa ajili ya kilimo cha mpunga.
 Kiswaga akiwa katika eneo hilo mapema leo hii amesema kuwa zaidi ya 500 zitamwagiliwa kwa Kilimo cha mpunga, na aina ya mbegu ni salo 5.

0 maoni:

Chapisha Maoni