Jumatano, 25 Januari 2017

RAIS MAGUFULI: JENGENI KITUO CHA DALADALA NA KUPAKI MAGARI MADOGO KIMARA MWISHO

Posted by Esta Malibiche on JAN 26,2017 IN NEWS
 KOPA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwasili katika kituo cha mabasi yaendayo haraka Kariakoo Gerezani alipoenda kuzindua Miundombinu na Huduma za mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam leo.Kulia ni Makamu wa Rais wa Benki ya Diunia kwa Ukanda wa Afrika  Maktahar Diop
KOPA 1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akihutubia mamia ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakati wa hafla ya uzinduzi wa Miundombinu na Huduma za mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam, awamu ya kwanza leo jijini Dar es Salaam.
KOPA 2
 Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akifafanua jambo wakati wa hafla ya uzinduzi wa Miundombinu na Huduma za Mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam, awamu ya kwanza leo jijini Dar es Salaam.
KOPA 3
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais _TAMISEMI George Boniphace Simbachawene akizungumza jambo wakati wa hafla ya uzinduzi wa Miundombinu na Huduma za Mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam, awamu ya kwanza leo jijini Dar es Salaam.
KOPA 4
Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Makthar Diop akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Miundombinu na Huduma za Mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam, awamu ya kwanza leo jijini Dar es Salaam.
KOPA 5
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Miundombinu na Huduma za Mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam, awamu ya kwanza leo jijini Dar es Salaam.
KOPA 6
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Joseph Nyamhanga aakimtambulisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Augustine Mahiga(aliyesimama) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Miundombinu na Huduma za Mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam, awamu ya kwanza leo jijini Dar es Salaam.
KOPA 7
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwaongoza viongozi na wananchi wa Dar es Salaam kuimba wimbo wa taifa wakati wa hafla ya uzinduzi Miundombinu na Huduma za Mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam leo. Kutoka kulia ni Mbunge wa Ilala Mussa Zungu, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Ramadhan Madabida,Waziri wa OR – TAMISEMI George Simbachawene, Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Makthar Diop, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, Waziri wa Mambo ya Nje Balozi Augustine Mahiga na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.
KOPA 8
 Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakifuatilia hotuba mbalimbali za viongozi wakati wa hafla ya uzinduzi wa Miundombinu na Huduma za Mabasi yaendayo Haraka awamu ya kwanza leo jijini Dar es Salaam.
KOPA 10
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitazama jiwe la msingi mara baada ya kuzindua rasmi Miundombinu na Huduma za Mabasi yaendayo Haraka awamu ya kwanza leo jijini Dar es Salaam.Kutoka kulia kwa Rais ni Waziri wa Nchi OR – TAMISEMI George Simbachawene na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa.
KOPA 11
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli (wa pili kulia), akiwa na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhandisi Mussa Iyombe (katikati) na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Makthar Diop wakimwagilia maji mti uliopandwa kama kumbukumbu za uzinduzi wa Miundombinu na Huduma za mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam, awamu ya kwanza leo jijini Dar es Salaam.
KOPA 12
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mkono na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Makthar Diop wakati wa hafla ya uzinduzi wa Miundombinu na Huduma za mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam, awamu ya kwanza leo jijini Dar es Salaam.
AWU 11
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akieenda kumtumza msaani wa muziki Mrisho Mpoto na Banana Zoro   wakati wa hafla ya uzinduzi wa  Miundombinu na Huduma za mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam leo. Uzinduzi huo umefanyika katika kituo cha mabasi yaendayo haraka cha Gerezani Kariakoo amba Mpoto na Banana waklitumbuiza wimbo wao unaohamasisha wananchi kufanya kazi hali iliyomvutia Rais Magufuli.
KOPA 15
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa katika picha na baadhi ya viongozi wa kiserikali na siasa wakati wa hafla ya uzinduzi wa Miundombinu na Huduma za mabasi yaendayo haraka, awamu ya kwanza leo jijini Dar es Salaam.Aliyemshikana naye mkono ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita.
KOPA 17
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiendesha Basi la Mwendokasi mara baada ya kuzindua Miundombinu na Huduma za Mabasi yaendayo Haraka, awamu ya kwanza leo jijini Dar es Salaam.
KOPA 18
Baadhi ya wanacnhi wakiwa katita mageti ya kuingilia katika Kituo cha Mabsi yaendayo haraka cha Gerezani Kariakoo walipokuwa wakimshuhudia Rais Magufuli akiendesha Basi kama ishara ya kuzindua Miundombinu na Huduma za Mabasi yaendayo Haraka leo jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Frank Shija – MAELEZO

0 maoni:

Chapisha Maoni