Posted by Esta Malibiche on Oct.1 2016 in NEWS
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt
John Pombe Magufuli akipiga ngoma za bendi ya jeshi ya Mwenge Jazzz wana
Paselepa wakati wa kufunga Zoezi la medani katika kilele cha
maadhimisho ya miaka 52 ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
(JWTZ) huko Baatini, Bagamoyo mkoa wa Pwani leo Septemba 30, 2016
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt
John Pombe Magufuli, Rais wa Zanzibar Dkt. Ali...