Postedy by Esta Malibiche on August 13.2016 in News
Waziri wa
Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu Jenista Mhagama akizungumza na
Wakurugenzi na Watendaji wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii katika mafunzo
kwa bodi za udhamini za mifuko ya hifadhi ya jamii kuhusu uendeshaji na
usimamizi wa mifuko ya hifadhi yaliyoandaliwa na Shirikisho la Mifuko
ya hifadhi ya jamii (TSSA) yaliyofanyika jana jijini Arusha.Picha zote
na mahmoud ahmad
Waziri wa
Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu Jenista Mhagama akizungumza na
Wakurugenzi na Watendaji wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii katika mafunzo
kwa bodi za udhamini za mifuko ya hifadhi ya jamii kuhusu uendeshaji na
usimamizi wa mifuko ya hifadhi yaliyoandaliwa na Shirikisho la Mifuko
ya hifadhi ya jamii (TSSA) yaliyofanyika jana jijini Arusha.Picha na
mahmoud ahmad
Mwenyekiti wa Shirikisho la Mifuko
ya hifadhi (TSSA) Eliud Sanga akifafanunua jambo katika mafunzo kwa
bodi za udhamini za mifuko ya hifadhi ya jamii kuhusu uendeshaji na
usimamizi wa mifuko ya hifadhi yaliyoandaliwa na Shirikisho la Mifuko
ya hifadhi ya jamii (TSSA) yaliyofanyika jana jijini Arusha.
Katibu wa Shirikisho la Mifuko ya hifadhi (TSSA) Meshach Bandawe akizungumza katika Mafunzo hayo.
Waziri wa
Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu Jenista Mhagama Akiteta jambo
na Mwenyekiti wa Shirikisho la Mifuko ya hifadhi (TSSA) Eliud Sanga
katika mafunzo kwa bodi za udhamini za mifuko ya hifadhi ya jamii
kuhusu uendeshaji na usimamizi wa mifuko ya hifadhi yaliyoandaliwa na
Shirikisho la Mifuko ya hifadhi ya jamii (TSSA) yaliyofanyika jana
jijini Arusha.Picha na mahmoud ahmad
Mkurugenzi Mkuu wa PPF William Erio akisikiliza jambo kwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Profesa Godius Kahyorara.
Waziri wa
Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu Jenista Mhagama Akitoa cheti
kwa Mjumbe wa Bodi ya PPF kutoka TUCTA Adelgunda Michel aliyeshiriki
katika mafunzo kwa bodi za udhamini za mifuko ya hifadhi ya jamii kuhusu
uendeshaji na usimamizi wa mifuko ya hifadhi yaliyoandaliwa na
Shirikisho la Mifuko ya hifadhi ya jamii (TSSA) yaliyofanyika jana
jijini Arusha.
Waziri wa Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu Jenista Mhagama Akitoa cheti kwa Mjumbe wa Bodi ya LAPF Sarah Mwaipopo
Waziri wa Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu Jenista Mhagama Akitoa cheti kwa Noel Nchimbi Mjumbe wa Bodi ya NSSF
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mrisho Gambo akizungumza
Waziri wa Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa Mafunzo
……………………………………………………………………..
Na Mahmoud Ahmad,Arusha.
Waziri wa
Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu Jenista Mhagama ameitaka Mifuko
ya Hifadhi ya jamii kuwekeza kwenye viwanda ili kuchochea uchumi wa
viwanda utakaolisaidia taifa kukua kiuchumi na pia kuwanufaisha
wanachama wa mifuko hiyo kutokana na uwekezaji huo wenye tija.
Jenista Amesema hayo akizungumza
na Wakurugenzi wa Mifuko pamoja na Watendaji katika mafunzo kwa bodi za
udhamini za mifuko ya hifadhi ya jamii kuhusu uendeshaji na usimamizi wa
mifuko ya hifadhi yaliyoandaliwa na Shirikisho la Mifuko ya hifadhi ya
jamii (ISSA) .
Amewataka Wakurugenzi hao kuunga mkono Agenda ya taifa ya kulifikisha taifa kwenye uchumi wa kati kupitia viwanda.
Waziri huyo amewataka Wakurugenzi
wa mifuko kuhakikisha kuwa wanadhibiti mifuko hiyo ili wanachama waweze
kupata mafao yao kwa wakati muafaka bila kuwepo kwa ucheleweshaji.
Mwenyekiti wa Shirikisho la Mifuko
ya hifadhi (ISSA) Eliud Sanga amesema kuwa Shirikisho hilo litaendelea
kuhimiza Mifuko hiyo kutimiza wajibu wake katika kutoa mafao bora kwa
wanachama wao pamoja na kubuni mafao mapya ili kuwavutia wanachama.
Sanga amesema kuwa kwa sasa mifuko
hiyo imefungua milango yake wazi kuwapokea wanachama kutoka sekta
ambazo si rasmi ili nao waweze kunufaika na mafao .
0 maoni:
Chapisha Maoni