Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mkuu wa
Wilaya ya Kusini Unguja Ndugu Idrisa Kitwana wakati wa kilele cha
sherehe za siku ya Kimkazi (Kizimkaziday) kwenye kijiji cha Kizimkazi
Mkunguni. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka shira kwenye
kalmati kwenye kilele cha sherehe za Siku ya Kizimkazi (Kizimkazi Day)
ambapo vyakula vya asili huliwa. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Vijana wa Kiume wakishindana kukuna nazi ikiwa sehemu ya mashindano ya Siku ya Kizimkazi (Kizimkazi Day).
Wakina Mama wakishindana kufunga kamba kwenye kilele cha sherehe za Kizimkazi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakazi wa
kijiji cha Kizimkazi Mkunguni kwenye kilele cha Sherehe za Siku ya
Kizimkazi ambapo wanakijiji hutumia siku hiyo maalum kujadiliana mambo
ya maendeleo na kushiriki michezo mbalimbali pamoja na kula vyakula vya
asili pamoja. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakazi wa
kijiji cha Kizimkazi Mkunguni kwenye kilele cha Sherehe za Siku ya
Kizimkazi ambapo wanakijiji hutumia siku hiyo maalum kujadiliana mambo
ya maendeleo na kushiriki michezo mbalimbali pamoja na kula vyakula vya
asili pamoja. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi kutoka
kwa wakina mama wa kijiji cha Kizimkazi Mkunguni kwenye kilele cha
sherehe za Siku ya Kizimkazi. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais
0 maoni:
Chapisha Maoni