Jumatatu, 8 Agosti 2016

MAJALIWA AFUNGA MAONYESHO YA NANENANE MBEYA

postedy by Esta Malibiche on August 8.2016 in KITAIFA with No comment

jea1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia  wananachi wakati lipotembelea maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya Agosti 8, 2016.  Kushoto kwake ni mkewe Mary. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
jea2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia picha yake iliyochorwa na kutolewa kwake na Chama cha Wandishi wa Habari za Utalii na Uwekezaji Tanzania mkoani Mbeya (TAJATI) katika kilele cha sherehe za Maonyesho ya wakulima Nanenane   kwenye uwaja wa wa John Mwakangale jijini Mbeya Agost 8, 2016. Watatu kulia kwake ni mkewe Mary na wapili kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
jea3
Baadhi ya viongozi  waliohudhuria kwenye kilele cha Maonyesho ya Wakulima Nanenane katika uwanja wa John Mwakangale  jijini Mbeya wakimsikiliza  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia Agosti 8, 2016. (Picha   jea4
Baadhi ya viongozi  waliohudhuria kwenye kilele cha Maonyesho ya Wakulima Nanenane katika uwanja wa John Mwakangale  jijini Mbeya wakimsikiliza  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia Agosti 8, 2016. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)
jea5
Baadhi ya viongozi  waliohudhuria kwenye kilele cha Maonyesho ya Wakulima Nanenane katika uwanja wa John Mwakangale  jijini Mbeya wakimsikiliza  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia Agosti 8, 2016. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)
jea6
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kulia) wakikagua vipando vya alizeti katika eneo la banda la Chuo cha Kilimo cha  Uyole  kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane  kwenye uwanja wa  John Mwakangale  jijini Mbeya Agosti 8, 2016.  Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)
jea7
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha karoti zilizostawi vizuri wkati alipotembelea banda  la Mapanda Mkoani Katavi katika maonyesho ya wakulima Nanenane  kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya Agosti 8, 2016.   Kulia kwake ni mkewe Mary.(Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)
jea8
Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa akitazama vitunguu vilivyopandwa kwenye gunia namna ya kilimo  ambacho ni muafaka  kwa watu waishio mijini hasa magorofani. Alikuwa akitembela maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye uwanja wa Maonyesho wa John Mwakangale wa jijini Mbeya. Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu)
jea9
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakipata maelezo kuhusu jiko banifu  kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Nkansi, Saidi Mtanda (kushoto)  kuhusu jiko banifu lililobuniwa na kutengenezwa na Samuel Msigale  (watatu kulia)  ambaye ni  mjasiliamali kutoka Nkansi mkoani Rukwa.  Alikuwa kitembelea maonyesho ya wakulima Nanenane  kwenye uwanja wa maonyesho ya wakulima Nanenane  wa John Mwakangale Agosti 8, 2016. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)
jea10
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary (kulia kwake) wakikagua  vipando vya kabeji wakati walipotembelea  banda la Magereza kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya Agosti8, 2016. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)
jea11
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakitazama  jiko banifu linalotumia gesi ya pumba  wakati alipotembelea  banda la Magereza kwenye maonyesho ya Wakulima Nanenane  katika uwanja wa  John Mwakakangale  jijini Mbeya  Agosti 8, 2016.  (Picha na Ofiasi ya Waziri Mkuu)
jea12
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na askari magereza wa mkoa wa Mbeya baada ya kutembelea  banda lao kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane kwenye  uwanja wa  John Mwakangale jijini Mbeya Agosti 8, 2016.  Kulia ni Mkuu wa Magereza mkoa  wa Mbeya Julius Sang’unda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
jea13
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa   na mkewe Mary wakiwa katika picha ya pamoja na vijana wa kujitolea kutoka Uingereza ambao Agosti 8, 2016 walitembelea maonyesho  ya wakulima Nannane kwenye uwanja wa John Mwakangale  jijini Mbeya. (Picha na Ofisi ya wairi Mkuu)

0 maoni:

Chapisha Maoni