Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Ijumaa, 29 Aprili 2016

Wafanyakazi TBL waaswa kuzingatia Usalama wakati wote

Wafanyakazi wa kampuni ya TBL Group na wanajamii wote wameaswa kuzingatia kanuni za usalama na kuzitekeleza  wakati wote ili kuepuka uwezekano wa kupata majanga ambayo yanaweza kuepukika . Wito huo umetolewa na Meneja anayesimamia mazingira ya sehemu...

Mvua kubwa: Mafuriko Tanzania na Kenya

Leo imekuwa siku ngumu sana kwa uchukuzi mjini Dar es Salaam, Tanzania. Kisa na maana,,,,mafuriko. Image captionWenyeji walitatazikika kuendesha shughuli zao za kawaida Baadhi ya barabara kuu za kitovu hicho cha kibiashara cha Tanzania, zilikuwa hazipitiki. Image captionMaji kila mahali Mvua kubwa inayoendelea kunyesha hivi sasa kanda yote ya Afrika Mashariki imesababisha mafuriko makubwa ambayo muundo msingi wa barabara za miji...

Mmarekani ahukumiwa kufungwa na kazi ngumu Korea

Raia wa Marekani amefungwa jela miaka 10 na kazi ngumu nchini Korea Kaskazini baada ya kupatikana na makosa ya kufanya ujasusi, shirika la habari la Uchina la Xinhua limeripoti. Kim Dong-chul, raia wa Marekani aliyezaliwa Korea Kusini, alikamatwa mwezi Oktoba mwaka jana. Kim aliwasilishwa kwa wanahabari mjini Pyongyang mwezi jana na akaoneshwa akikiri makosa, na kusema kwamba alilipwa na Korea Kusini kufanya ujasusi. Mwezi...

JAJI MKUU MOHAMED CHANDE OHMAN KUWA MGENI RASMI KATIKA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI

Mwenyekiti wa MISATAN, Simon Berege akizungumza na waandisshi wa habari kuhusu SIku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari. Kushoto ni Afisa Mafunzo wa TMF, Raziah Mawanga na Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Jamhuri na Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Deodatus Balile. Siku za Uhuru wa Vyombo vya Habari ambayo hufanyika Mei 3 ya kila mwaka inataraji kufanyika jijini Mwanza kwa mwaka huu...

MWANAHABARI MTOTO NA MWANAMAZINGIRA WA UN, GETRUDE CLEMENT AWASILI JIJINI MWANZA

  Shujaa Wetu, Mwanahabari Mtoto, Mwanamazingira Balozi wa Umoja wa Mataifa UN kutoka Mwanza Tz, Getrude Clement (16) jana amewasili nyumbani Jijini Mwanza majira ya saa tatu usiku na kupokelewa kwa shangwe na ndugu, jamaa na marafiki katika Uwanja wa Ndege Mwanza. Alihudhuria Mkutano wa Umoja wa Mataifa nchini Marekani uliohusu Mabadiliko ya Tabia nchi (Climate Change) ambapo alihutubia õakiwakilisha kundi la Watoto na...

MKUU WA WILAYA IRINGA RICHARD KASESELA aAITAKA JAMII KUWA NA NIDHAMU MAHALI PA KAZI ILI KULETA UFANISI

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 Mkuu wa wilaya Iringa Richard Ksesela akizungumza nawashiriki wa   mfunzo ya PUBLIC PRIVATE DIALOGUE (PPD) pamoja na kugawa vyeti kwa washiriki hao. ...