Alhamisi, 6 Oktoba 2016

KITUO CHA UWEKEZAJI TIC CHASAINI MKATABA WA KIBIASHARA NA KAMPUNI YA CHAN LILITED YA KOREA

cli1
Sang Hyun  Rais wa Kampuni ya Chan Ltd ya Korea  kulia na Bw. Cliford Tandali Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania wakisaini mkataba wa makubaliano ya kibiashara katika  masuala ya teknolojia ya mawasiliano katika michezo ya bahati nasibu.
Mkataba huo wa awali wa kibiashara unaofahamika Kama Memorandum of Understanding(MOU) na kampuni kati ya  TIC na Kampuni ya Chan Ltd ya Korea kusini kuhusiana na masuala ya mawasiliano ya kitengo cha Bahati Nasibu umesainiwa leo asubuhi jijini Dar es salaam, ambapo kampuni hiyo itaanzisha mfumo wa teknolojia ya juu katika masuala ya mchezo wa bahati nasibu.
ti
Viongozi hao wakijadiliana jambo mara baada ya kusainiana mkataba huo.
cli2

0 maoni:

Chapisha Maoni