Postedy by Esta Malibiche on August 3, 2016 in JAMII with No comments
Meneja
wa mfuko wa Taifa wa bima ya afya mkoa wa Lindi Fortunata Raymond
akiwapa maelezo ya mpango wa KIKOA unaowawezesha
wanavikundi,wajasiriamali kupata huduma za matibabu kuchangia mara moja
kwa mwaka (Shs 76,800),kwa wananchi waliotembelea katika banda la mfuko
lililopo kwenye viwanja vya Ngongo mjini Lind
Timu
ya wataalamu wa mfuko wa taifa wa bima ya afya wakiendelea na zoezi la
upimaji wa afya kwenye magonjwa yasiyoambukiza kwa wananchi waliofika
kwenye banda la mfuko ngongo mjini Lindi.
Ofisa
matekelezo wa bima ya afya Salvatory Okum akitoa maelezo ya faida na
umuhimu wa uchangiaji wa huduma za matibabu kupitia mfuko wa afya ya
jamii (CHF) kwa wananchi waliotembelea banda la mfuko ambapo elimu kwa
umma ni moja ya huduma zinazotolewa.
0 maoni:
Chapisha Maoni