Ridhiwani Kikwete anamkabidhi madawati Diwani wa Kata ya Ubena Nicholaus Muyuwa. Picha na Mpiga picha Wetu.
Picha za mbali
mbali za tukio hilo la ugawaji wa madawati 537 yaliyotolewa na Ofisi Ya
Bunge Tanzania kwa Shule zenye upungufu wa madawati.
Madawati hayo
yalitolewa katika shule za Jimbo hilo kwa utaratibu kwa kila shule
kupata idadi ya madawati yake,shule ya Chalinze madawti 50,Bwilungu
50,Bwilungu B 50,Kikaro 50,Mdaula 50,Msanga 50,shule ya Msigi 7.
Shule nyingine
zilizopata madawati hayo ni Msata 15,Pongwe Mwezi 40,Kikwazu 10,Kibundu
madawati 50,Mboga19,Mbewe 31,Ruvu Darajani 25 na shule ya Lulenge
madaati 10.
0 maoni:
Chapisha Maoni