Alhamisi, 11 Agosti 2016

NKM -MADINI Prof. MDOE ATEMBELEA MNADA WA MADINI YA TANZANITE ARUSHA.

Postedy by Esta Malibiche on August 11.2016

Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Madini Profesa James Mdoe ametembelea mnada wa Madini ya Tanzanite yaliyochimbwa kutoka migodi ya Kampuni tano za wafanyabiasha wa madini hayo ili kuona utaratibu unaotumika kuwapata washindi wa zabuni za kununua madini ya hayo wakati wa mnada.
Mnada huo unatarajia kufanyika Agosti 12 mwaka huu na unafanyia Tanzania kwa mara kwanza; Vilevile watakaoshinda zabuni za kununua madini ya hayo watatangazwa wakati wa mnada.
Mnada huo umeshirikisha wafanyabiashara wa Madini wa ndani na nje ya Tanzania.
MD1
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Madini Profesa James Mdoe ametembelea mnada wa Madini ya Tanzanite yaliyochimbwa kutoka migodi ya Kampuni tano za wafanyabiasha wa madini hayo ili kuona utaratibu unaotumika kuwapata washindi wa zabuni za kununua madini ya hayo wakati wa mnada.
MD2
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulika Madini wa Wizara ya Nishati na  Madini, Profesa James Mdoe ( kushoto) akionyeshwa namna ya kutambua ubora wa jiwe la Tanzanite na Mkurugenzi wa Uthaminishaji na Almasi na vito Tanzania( TANSORT) Archard Kalugendo( kulia)
MD3
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulika Madini wa Wizara ya Nishati na  Madini, Profesa James Mdoe ( kushoto) akionyeshwa namna ya kutambua ubora wa jiwe la Tanzanite na Mkurugenzi wa Uthaminishaji na Almasi na vito Tanzania( TANSORT) Archard Kalugendo( kulia)
MD4
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulika Madini wa Wizara ya Nishati na  Madini, Profesa James Mdoe akitazama ubora wa jiwe la Tanzanite kupitia kifaa maalim.
MD5
Mkurugenzi wa Uthaminishaji na Almasi na vito Tanzania( TANSORT) Archard Kalugendo( kushoto)akimuonyesha Naibu Katibu Mkuu anayeshughulika Madini wa Wizara ya Nishati na  Madini, Profesa James Mdoe(katikati) Madini ya Tanzanite yaliohifadhiwa katika vyombo maalum kabla ya kupigwa mnad
MD6
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulika Madini wa Wizara ya Nishati na  Madini, Profesa James Mdoe( kushoto )akizungumza na baadhi ya wauzaji wa Madini ya Tanzanite, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya VGL Group ,Sunil Agrawal( kulia), na Mmoja wa Wakurugezi wa Kampuni ya TanzaniaOne, Rizwan Ullah  ( wa pili kulia) wakati wa mnada wa Madini ya Tanzanite mkoani Arusha.
MD7
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulika Madini wa Wizara ya Nishati na  Madini, Profesa James Mdoe( kushoto) akionyeshwa upimaji wa uzito kwa mawe ya Tanzanite yaliokatwa na Mkurugenzi wa Uthaminishaji na Almasi na vito Tanzania( TANSORT) Archard Kalugendo( kushoto)
MD9
Afisa kutoka Wizara ya Nishati na madini kitengo cha Tehama,Danford Phiri( kushoto) akimueleza Naibu Katibu Mkuu anayeshughulika Madini wa Wizara ya Nishati na  Madini, Profesa James Mdoe( kulia) mfumo mpya wa Kompyuta utakaokuwa ukitumika kuwapata washindi wa zabuni za kununua Madini ya Tanzanite wakati wa minada.

0 maoni:

Chapisha Maoni