Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Jumatatu, 31 Oktoba 2016

OLOLOSOKWAN YAZINDUA UTABIBU KWA NJIA YA TEHAMA

Posted by Esta Malibiche on Oct 31.2016 in TECHNOLOJIA Mradi mkubwa wa kijiji cha digitali cha Ololosokwan, Loliondo umezinduliwa rasmi mwishoni mwa wiki, miaka miwili tangu kutiwa saini kwa uanzishwaji wake kati ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) na kampuni ya Samsung. Hiki kitakuwa ni kijiji cha nne cha digitali barani Afrika cha kwanza kikiwa nchini Afrika Kusini...

WADAU WAJADILIANA JINSI SEKTA BINAFSI INAVYOWEZA KUSHIRIKI KATIKA MKAKATI WA UTEKELEZAJI THABITI WA MPANGO WA PILI WA MIAKA MITANO WA MAENDELEO YA TANZANIA, (FYDPII)

Posted by Esta Malibiche on Oct 31.2016 in NEWS Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii, (ESRF), Dkt. Tausi Mbaga Kida, (kulia), akizungumza kwenye Warsha ya majadiliano ya wadau kuhusu nafasi ya sekta binafsi katika kutekeleza mpango wa pili wa maendeleo wa miaka mitano (FYDPII), kwenye ukumbi wa mikutano wa ESRF jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa Mkoawa Simiyu, Bw. Anthony Mtaka Naibu Katibu Mkuu...

Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano Serikalini wapongeza Muswada Habari

Posted by Esta Malibiche on Oct 31.2016 in NEWS Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO, Dodoma Baadhi ya Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano Serikalini (GCU) wamemesema Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari wa mwaka 2016 ni muhimu kwa taifa na unalenga kuleta tija kwa taifa zima. Muswada huo unalenga kuwanufaisha waandishi wa habari, wamiliki wa vyombo vya habari pamoja na wananchi wa kawaida nchini. Wakipongea kwa nyakati tofauti na mwandishi wa...

WAANDISHI WA HABARI DODOMA WATEMBELEA MIRADI YA UWEKEZAJI YA LAPF

Posted by Esta Malibiche on Oct 31.2016 in NEWS  Kaimu Mkurugenzi  Huduma kwa Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF ramadhani Mkeyenge akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Dodoma kuhusu miradi iliyotekelezwa na LAPF katika maeneo mbali mbali nchini.  Baadhi ya Maofisa wa LAPF pamoja na waandishi wa Habari wakitembelea mradi wa mabweni katika Chuo cha Serikali za Mitaa cha Hombolo nje kidogo ya manisapaa ya Dododma. LAPF...