Posted by Esta Malibiche on Oct 31.2016 in TECHNOLOJIA
Mradi
mkubwa wa kijiji cha digitali cha Ololosokwan, Loliondo umezinduliwa
rasmi mwishoni mwa wiki, miaka miwili tangu kutiwa saini kwa uanzishwaji
wake kati ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni
(Unesco) na kampuni ya Samsung.
Hiki
kitakuwa ni kijiji cha nne cha digitali barani Afrika cha kwanza kikiwa
nchini Afrika Kusini...